Jamaa alikuwa na safari
ya miezi kadhaa, kwa wivu wake akamtengenezea mke wake chupi ya chuma. Siku
alipokuwa anaondoka akamuita rafiki yake mpenzi;
JAMAA: Aise wewe ndiye
rafiki yangu mpenzi mi nasafiri, nimemtengenezea mke wangu chupi ya chuma yenye
kufuli, ili wahuni wasije wakamshawishi kunisaliti, sasa naona ufunguo naweza
kuupoteza hivyo naomba wewe ukae nao mpaka nirudi.
RAFIKI: Nashukuru kwa
imani kubwa uliyonayo juu yangu rafiki, nitakutunzia vema mali zako..........
Mume akaelekea kwenye kituo cha basi, kabla hajafika rafiki yake akamuwahi huku
akipumua kwa shida na kutokwa jasho baada ya mbio ndefu.
RAFIKI: Aise samahani,
inaonekana umekosea umeniachia funguo sio

No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE