22 July 2012

MLEGEZO na KAZI

Eti unaenda kuomba kazi umepiga MLEGEZO... Nywele timtim, (huna mwonekano wa kikazi), na bado unalalamika eti UNABANIWA..?! Sasa hapo unabaniwa ama unajibana mwenyewe? (MUUNGWANA NI KITENDO)
MLEGEZO na KAZI

No comments:

Post a Comment

SEMA USIKIKE