Baada ya kujifungua watoto sita kwa mpigo mdada supasta akapiga simu kwenye gazeti la udaku;
MDADA: Halo andikeni nimejifungua watoto 6 kwa mpigo........mwandishi akawa hakusikia vizuri
MWANDISHI: Hebu rudia tena
MDADA: We mwendawazimu nini? Nirudie tena unadhani kuzaa hivi ni rahisi?
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE