Jamaa alikuwa porini anaoga, kushtuka kakuta wanyama kadhaa wanamshangaa;
JAMAA:Mnashangaa nini?
SIMBA: Tunakushangaa wewe
JAMAA: Mnashangaa nini cha ajabu?
SIMBA: Aise we kiboko una mkia mbele
JAMAA:Mnashangaa nini?
SIMBA: Tunakushangaa wewe
JAMAA: Mnashangaa nini cha ajabu?
SIMBA: Aise we kiboko una mkia mbele
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE