JAMAA kaingia kituo cha polisi huku anavuja damu kichwani;
POLISI: Nini tena wewe?
JAMAA: Naomba PF3 nikapate matibabu
POLISI: Umefanya nini?
JAMAA: Nimepasuka kichwa
POLISI: Umepasukaje kichwa?
JAMAA: Nilikuwa nambusu mpenzi wangu
POLISI:Toka lini ukibusu mpenzi unapasuka kichwa?
JAMAA: Mke wangu alinikuta nambusu
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE