MKE: Haloo mume wangu uko wapi saa hizi?
MUME: Aise sori mke wangu niko bizi sana, niko ofisini tuna wageni kutoka Bulgaria, we are very busy. Vipi we uko wapi my dear?
MKE; Niko meza ya nyuma yako hapa Corner Bar, naomba na mimi Amarula kama anayokunywa mgeni wako toka Bulgaria
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE