Baada ya ulevi wa hali ya juu jamaa kaamka asubuhi kakuta kumbe alibeba changu,
CHANGU: He jamani tulishughulika bila kondom
JAMAA: Pombe mbaya sana tulijisahau
CHANGU: Usije ukawa na UKIMWI jamani
JAMAA: Ahh wapi nimepima wiki iliyopita nilikuwa fresh
CHANGU: Dah afadhali, maana sina mpango kabisaa wa kuambukizwa tena
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE