Text zinazoweza kuharibu pozi:
1) Nina mimba yako
2) Sikutaki tena
3) Samahani nimepata ajali na gari lako
4) Nimemuona shemeji anaingia gest na mtu, ntakutumia picha
5) Nimepima majibu sio mazuri, mi najiua
6) Tafadhali muache mume/mke wangu onyo la mwisho
7) Nakuja kuchukua hela zangu
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE