Mtu na mkewe walipanga chumba juu katika hoteli ghorofa ya 10. Mume akampigia simu meneja;
MUME: Hall meneja, hebu njoo huku chumbani kwetu, mi na mke wangu tunagombana na mke wangu anatishia kuwa atajirusha kwenye dirisha
MENEJA: Hayo ni mambo binafsi mi siwezi kuingilia
MUME: Hapana jambo hili linakuhusu sana, huku dirisha halifunguki, njoo utengeneze
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE