MUME: E Mungu niondoe katika huu umasikini, nifungue katika kifungo hiki cha kukosa fedha, sikiliza kilio changu E Mungu
MKE: E Mungu nisikiliza mimi, usimpe huyu utajiri, atanunua magari ataanza kulewa, atakuwa anasindikizana na wale wasanii mi ataniacha, tuachie huu huu umasikini Mungu
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE