24 February 2013

MBWA KOKO AWASIFIA MBWA WA POLISI

Mbwa koko wawili walikuwa wanasaka chakula kwele jalala, mara ikapita Land Rover ya FFU na ndani yake kuna mbwa wa polisi;
Mbwa koko mmoja akaangalia kwa uchungu kisha akamwambia mwenzie, ' Unaona wenzetu waliosoma, wale wanaenda kazini'

No comments:

Post a Comment

SEMA USIKIKE