NIKUPE TOOTHPICK?
Ulitoa mchango wako mkubwa kwenye vikao vya harusi, sasa siku ya harusi unapanga foleni ya chakula, inapofika zamu yako chakula kinaisha, unarudi mezani kupata kinywaji unaambiwa vinywaji vimeisha, wakati unawaza kwa masikitiko kuhusu mchango wako, mhudumu anapita ana kuuliza, 'Samahani mzee umeshakula nikupe toothpick?'
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE