WHAT? Kwani Rage alikuwa Yanga? Dah kweli mjini ni mjini
Duh hizi ngumi lazime niende nikaangalie, nione kama kutakuweko na chapati au kipigo cha mbwa mwizi.
Hahahahahaha chezea Mirerani, mlidhani Nyarugusu hapo? mnaona dawa zenu zimefeli, mlisahau uchawi hauvuki maji?
Duh kumbe vimini ni tatizo la kiafya huko Dom? Nini wananchi wanapata presha wakiona vimini? au wavaa vimini wanaumwa kirahisi na mbu wanapata sana malaria?
Kaziiiiiiiii kweli kweli Peoples power
Duh hizi ngumi lazime niende nikaangalie, nione kama kutakuweko na chapati au kipigo cha mbwa mwizi.
Hahahahahaha chezea Mirerani, mlidhani Nyarugusu hapo? mnaona dawa zenu zimefeli, mlisahau uchawi hauvuki maji?
Duh kumbe vimini ni tatizo la kiafya huko Dom? Nini wananchi wanapata presha wakiona vimini? au wavaa vimini wanaumwa kirahisi na mbu wanapata sana malaria?
Kaziiiiiiiii kweli kweli Peoples power




No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE