Jamaa kaenda kwa mzee moja kazini kwake;
JAMAA: Mzee nina tatizo kubwa yaani sina hamu na mke wangu kabisaaa,sijui nimelogwa?
MZEE: Kesho mlete mkeo nimuone................ Jamaa kesho yake akaja na mkewe. Mzee akamuangalia yule mama, kisha akamuita jamaa pembeni.
MZEE: Aise unajua najiuliza yaani ulimuoa vipi huyu? Mbona hana mvuto kabisa? Wewe hujalogwa wala nini
JAMAA: Mzee nina tatizo kubwa yaani sina hamu na mke wangu kabisaaa,sijui nimelogwa?
MZEE: Kesho mlete mkeo nimuone................ Jamaa kesho yake akaja na mkewe. Mzee akamuangalia yule mama, kisha akamuita jamaa pembeni.
MZEE: Aise unajua najiuliza yaani ulimuoa vipi huyu? Mbona hana mvuto kabisa? Wewe hujalogwa wala nini
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE