DOGO: Baba ingekuwa unanithaminisha na pesa, mimi thamani yangu shilingi ngapi kwako?
BABA: Dah mwanangu wewe sawasawa na mamilioni na mamilioni ya shilingi kwangu
DOGO: Baba niazime alfu kumi tu
BABA: Dah mwanangu wewe sawasawa na mamilioni na mamilioni ya shilingi kwangu
DOGO: Baba niazime alfu kumi tu
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE