MWANAKIJIJI 1: Aise nataka kwenda Dar
MWANAKIJIJI 2: Lazima ufike Sinza kuna baa inaitwa SHKAMOO
MWANAKIJIJI 1: Kwanini?
MWANAKIJIJI 2: Hapo ukiingia wanakupa kinywaji bure, halafu unapotoka unapewa mpenzi bure
MWANAKIJIJI 1: Dah huko lazima niende, we uliwahi kufika huko?
MWANAKIJIJI 2: Hapana lakini mke wangu kila akienda Dar lazima afike hapo
MWANAKIJIJI 2: Lazima ufike Sinza kuna baa inaitwa SHKAMOO
MWANAKIJIJI 1: Kwanini?
MWANAKIJIJI 2: Hapo ukiingia wanakupa kinywaji bure, halafu unapotoka unapewa mpenzi bure
MWANAKIJIJI 1: Dah huko lazima niende, we uliwahi kufika huko?
MWANAKIJIJI 2: Hapana lakini mke wangu kila akienda Dar lazima afike hapo
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE