MLEVI 1:Niambie ukweli , wewe ni kama ndugu yangu, hivi kwani watu mtaa huu wanamfwatafwata sana mke wangu?
MLEVI 2: Unasikia bradha mi ntakwambia ukweli. Mkeo ana matatizo hajui kiswahili sawasawa
MLEVI 1: Toka lini? Mke wangu anajua kiswahili vizuri sana
MLEVI 2: Kwa kweli bradha mke wako anajua maneno mengine ya kiswahili lakini hajui neno hapana
MLEVI 2: Unasikia bradha mi ntakwambia ukweli. Mkeo ana matatizo hajui kiswahili sawasawa
MLEVI 1: Toka lini? Mke wangu anajua kiswahili vizuri sana
MLEVI 2: Kwa kweli bradha mke wako anajua maneno mengine ya kiswahili lakini hajui neno hapana
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE