Aise ndugu yangu nashukuru kwa kunitumia picha ya shem, mara ya kwanza uliponiambia umemuoa Mmarekani tena bleki, na jinsi ulivyomsifia, kwa kweli mawazo yangu yalikuwa umeopoa kitu cha nguvu kama vile Beyonce au mama Obama, sasa hii picha ya huyu shem imanivunja moyo, japo wahenga walisema kipenda roho kula nyama mbichi, najiuliza si ungekuja home tu kuna watoto wa nguvu sana wamejaa. Ushauri usije ukaja na shem huku, au akija mwambie avae baibui,
Ndimi Nduguyo Joni
Ndimi Nduguyo Joni

Anko unamwonea wivu bwana kitu shape ya mkasi hicho
ReplyDelete