![]() |
| Haya tena unapigwa dozi unabana pua |
Raymond
Kaminyoge wa Mwananchi Newspapers
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametangaza kiama kwa vigogo wa dawa za kulevya na kuwataka watafute kazi nyingine za kufanya vinginevyo siku za kukamatwa kwao zinahesabika.Pinda alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa kilele cha maadhimisho ya kimataifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulevya……yap najua kwa tangazo hili vigogo hao wanatetemeka sana, pengine wengine wameshaandika aplikeshen za kuomba kazi za uhauziboi na uhauzgelo, unajua kiama kinatisha bwana ohoooo
WAZIRI Mkuu, Mizengo Pinda ametangaza kiama kwa vigogo wa dawa za kulevya na kuwataka watafute kazi nyingine za kufanya vinginevyo siku za kukamatwa kwao zinahesabika.Pinda alisema hayo jana jijini Dar es Salaam wakati wa kilele cha maadhimisho ya kimataifa ya siku ya kupiga vita dawa za kulevya……yap najua kwa tangazo hili vigogo hao wanatetemeka sana, pengine wengine wameshaandika aplikeshen za kuomba kazi za uhauziboi na uhauzgelo, unajua kiama kinatisha bwana ohoooo

No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE