Jambazi mmoja alikuwa kauwawa na polisi, siku ya mazishi yake majambazi wenzie wakajikusanya kwa siri ili kuhudhuria msiba. Wakafika wakakuta msemaji wa familia anatoa sifa za marehemu;
MSEMAJI: Marehemu alikuwa ni mtu wa watu alipenda watoto, alikuwa masaada mkubwa kwa wanafamilia na majirani zake. Ni wazi saa hizi yuko peponi akifurahi na malaika.
JAMBAZI 1:(akawaita wenzie) Nadhani tumekosea, huu si msiba wa jamaa yetu twendeni tukapeleleze msiba wake uko wapi
MSEMAJI: Marehemu alikuwa ni mtu wa watu alipenda watoto, alikuwa masaada mkubwa kwa wanafamilia na majirani zake. Ni wazi saa hizi yuko peponi akifurahi na malaika.
JAMBAZI 1:(akawaita wenzie) Nadhani tumekosea, huu si msiba wa jamaa yetu twendeni tukapeleleze msiba wake uko wapi
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE