24 November 2012
BREAKING NEWSSS FISADI AJIKOJOLEA KWENYE NDEGE
Fisadi kaiba mkwanja akaona itakuwa soo akiuweka benki maana siku hizi mtu hata ukiweka hela zako Uswisi watu wananusa, akanunua sanduku akazisunda zile pesa, akaenda msitu wa Mabwepande akatafuta mti mkubwa akachimba shimo chini yake akafukia mkwanja. Ili awe na kumbukumbu akapiga picha ule mti akaondoka zake kuwahi ndege maana alikuwa kwenye msafara wa bosi mkuu. Akiwa hewani akaanza kuzicheki picha za ule mti aliofukia mkwanja wa wizi, duh kucheki picha vizuri si akamuona mtu yuko juu ya ule mti, mkojo ukamtoka palepale bila breki
Subscribe to:
Post Comments (Atom)
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE