MAMA P: Namshukuru Mungu mume wangu nimembana mpaka kaninunulia iPhone
MAMA S: Umembanaje?
MAMA P: Nilimfumania kamkumbatia hausgelo
MAMA S: Du mshenzi mkubwa sana huyo, je umemfukuza hausgelo?
MAMA P: We, we,we kwanini nimfukuze? Bado nataka vitu vingine
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE