Nimekuwa
nazunguka sehemu nyingi hapa Dar kupata vituko, lakini kwa kweli hizi sehemu
wanazokwenda enjoy wale wanaojiona
wako juu kuna vituko vikali sana, kwa kawaida huwa nakaa pembeni na
Fanta yangu nasikiliza vituko, sasa kuna hawa wakaka na wadada ambao hutaka
kuongea Kiingereza tu kusudi kuonekana wao wako kidijitali zaidi, yaani we acha
tu. Ukitaka upate utamu huu live nenda kwenye bar zote karibu na vyuo hasa
baada ya wanachuo kupata mshiko wao, wenyewe wanauita BOOM, nenda club za Masaki, nenda Samaki samaki na
sehemu kama hizo, utasikia kiingereza kifuatacho;
i.
Where did you went?
ii.
I come to your office yesterday but I didn't find you.
iii.
Where is the second leg of my shoe?
iv.
I enjoyed the movie, it is very interested
v.
God bless you with a children
vi.
"She dided it"
vii. I will better kill myself than
commit suicide.
viii. Can you hear the smell?
ix.
Arsenal and Man U are the greater rivalry in England.
x.
I was come
xi.
We are mucher than them
xii. Remember me to give you your
money tomorrow
xiii. This film is very sweet
Guys if this
is how you people speak english, include me out.
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE