Baada ya TV nanihii kututaarifu umma kuwa Obama ni Rais wa
Tanzania, gazeti tukufu la Mwananchi Jumamosi 20 July, nalo limetuwekea picha ya sijui nani sijui na kututaarifu
kuwa ni mwanamuziki marehemu Fela Kuti,. Kwa kuwa wahariri wa blog hii nao
utaalamu wao hauna kiwango kabisa, tunawaachia wananchi, samahani raia
watueleze huyu nani aliyeitwa Fela Kuti? KEEP IT UP MWANANCHI..
![]() |
| Fela Kuti wa Mwananchi |
![]() |
| Femi Kuti mwanae Fela |
![]() |
| Fela Kuti wetu |



huyo ni Bill T. Jones,ambaye anacheza maonyesho ya broadway.."Fela the musical,ni actor,sio Fela mwenyewe ila wamefanana sana...
ReplyDeleteGAZETI LIJALO WATUOMBE MSAMAHA
ReplyDeleteMambo ya Aib kwel haya!
ReplyDeleteNINGEMWAGA SUMU, LKN WAMESEMA WATATUPIGA. CHIDOGOZELO HUKO,NG'ONG'ONA WANAJUA FELA HUYO. UFALA HUO
ReplyDeleteHaya tena, ngoja niingie mitini lakini huyo sio Fela Kuti, hata mkinitoa kucha
ReplyDelete