MWANAMIMI:Dokta tatizo langu kubwa sana
DOKTA: Nini tena?
MWANAMIMI: Usiku tukiwa faraga na mume wangu, huwa anapiga sana kelele
DOKTA: Lakini mama hilo ni jambo la kawaida
MWANAMIMI: Hapana ananisumbua, kelele zake huwa kubwa mpaka zinaniamsha usingizini
DOKTA: Nini tena?
MWANAMIMI: Usiku tukiwa faraga na mume wangu, huwa anapiga sana kelele
DOKTA: Lakini mama hilo ni jambo la kawaida
MWANAMIMI: Hapana ananisumbua, kelele zake huwa kubwa mpaka zinaniamsha usingizini
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE