KWA MASWALI ZAIDI YA KUUDHI SOMA HAPA
i. Shilingi 1000/-ni bei gani?- Kisa wa Mbeya
JIBU:Ndugu yangu swali lako zuri sana, uchumi kwa kuwa umepanda
na wewe chukua ngazi uufwatie hukohuko maana ukiwa juu alfu ni kama
shilingi 900/- lakini ukiwa chini bei ya alfu ni shilingi 600/-
ii. Niko chuoni nasomea unesi, je unadhani nikimaliza shule nitaweza kufanya kazi gani?- Nene wa Kondoa
JIBU: Ukimaliza utakuwa polisi...KUENDELEA KUSOMA MASWALI NA MAJIBU HAYA YA KIFALA KABISA INGIA.... HAPA
No comments:
Post a Comment
SEMA USIKIKE